Huwezi kubali ukweliRamli chonganishi!!!
Ni bure au malipo kwenye hizo hiddenWALIO TAYARI
-Natoa mafunzo ya forex kwa mbinu za hidden world
-Account Management
Mahitaji ya Account Management
login details na copy za ID zako Nida/Passport/Driving License/Kura zenye majina sawa na login details
Just PM for the service
Malipo ngoja niedit uziNi bure au malipo kwenye hizo hidden
Come inboxsamahanini naomben tu strategy nzuri zaid kwa wale wazoefu wa FX, I mean strategy kidogo yenye 90% of pip winning....
wadau Wa forex kuna investor kanipa akaunti yake halafu tugawane asilimia ya kitakachopatikana kadeposit dola 3500$.
Ila kwa bahati mbaya bado sina uzoefu wa kutosha kwenye hii mishe .je msaada wa mtaalmu yeyote anisaidie kudrive hii akaunti
Kutafuta mtu wa kukusaidia humu utapata mtu kama ww vile vile ili akusaidie mwisho wa siku utachoma ac kuna traders wazuri tu na wako proffesional kwa hiyo kazi tena kwa mikatabawadau Wa forex kuna investor kanipa akaunti yake halafu tugawane asilimia ya kitakachopatikana kadeposit dola 3500$.
Ila kwa bahati mbaya bado sina uzoefu wa kutosha kwenye hii mishe .je msaada wa mtaalmu yeyote anisaidie kudrive hii akaunti
Tangaza dau nothing come for free Nakupa mbili kabisa simple like As fuc#ksamahanini naomben tu strategy nzuri zaid kwa wale wazoefu wa FX, I mean strategy kidogo yenye 90% of pip winning....
Asee kaka naomba unicheki kwa 0742024193. Tufanye kazi niko vizuri FOREXwadau Wa forex kuna investor kanipa akaunti yake halafu tugawane asilimia ya kitakachopatikana kadeposit dola 3500$.
Ila kwa bahati mbaya bado sina uzoefu wa kutosha kwenye hii mishe .je msaada wa mtaalmu yeyote anisaidie kudrive hii akaunti
naona watu mnspromote sana mabroker vp huwa mnalipwa commision au huwa wanawalipajeKwa wale Trader ambao wangependa kumtumia broker Templerfx.
Broker huyu anakuwezesha kuweka PESA na kutoa kwa njia ya M-PESA.
Kujisajili ni rahisi sana kwa kutumia kitambulisho chako cha kupigia kura,kitambulisho cha Taifa, Leseni ya Udereva au kitambulisho chochote kinachotambulika na mamlaka husika, namba yako ya simu utakayotumia kuweka na kutoa pesa kwa broker pamoja na E-mail.
Ni broker pekee ambae anayekuwezesha kuweka kiasi kidogo kuanzia dollar ($) 1 kwenye akaunti yako ,pia vilevile ana huduma ya haraka sana wakati wa kutoa pesa yako, dakika 15-30 tiyari pesa inakuwa imeshatumwa kwenye account yako.
BAADA YA KUJISAJILI
Ndani ya saa 72 au chini ya hapo unakuwa na akaunti yako tiyari na kuanza kuitumia.
JISAJILI SASA
Wasiliana na mimi PM kwa msaada zaidi BURE.
Templer https://secure.templerfx.com/main?rid=107946
Madogo kwa kulishana matango poli hamjambo!kila kitu kinakibidhi hata nikitaka kutoa fresh 40% profit ndo yangu
capita $50, lot size 0.05.....laverage 1: 500, serious?Kwa wale ambao hawana mitaji ya kutrade forex
Kuna kitu kinaitwa BONUS
, Hii Ni hela ambayo broker anakupa bure ili uweze kutrade na ukipata faida unaitoa Kama kawaida endapo utakidhi vigezo na masherti ya bonus hiyo..
Sasa TEMPLERFX anatoa $30 Kama bonus kwa wale ambao wamekosa mtaji wa kufund account zao .
Inaitwa $30 NON DEPOSIT BONUS
Vigezo na masherti ya kupata NON DEPOSIT BONUS KUTOKA TEMPLERFX.
1.Unatakiwa ujisajili na broker TEMPLERFX.
2. Kisha uverify Taarifa zako Kama EMAIL, NAMBA YA SIMU na KITAMBULISHO CHAKO .
Ndani ya masaa 72 baada ya kuwatumia picha ya kitambulisho chako watakuwa wameverify account yako.
3.Bonus Request
Baada ya kumaliza kujisajili pamoja na Mambo ya verification , utaclick BONUS , Hafu Utaclick "Request NDB $30"
Baada ya hapo utapokea email yenye Login details ya account yako mpya ambayo imepatiwa hiyo $30 , utacopy zile details hafu utaenda kwenye platform ya mt4 utazi-paste . Anza kutrade.
ILI UWEZE KUWITHDRAW BONUS BAADA YA KUTRADE Inatakiwa ufuate masherti yafuatayo.
1.Bonus utakayopewa Ni valid kwa siku 30 tu, baada ya hapo haitakuwa valid Tena. Kwa hiyo itabidi utrade ndani ya siku hizo 30.
2. Unaruhusiwa kutoa faida utakayoipata baada ya kutrade kwa trades zenye volume lot size 5 (5 lots) ndani ya hizo siku 30.
Hapa naomba nielekeze kidogo .
Sio kwamba unalatakiwa Kutumia 5 lotsize utakavyoopen trade yako .
Bali lotsize yoyote unaruhusiwa Ila baada ya siku 30 lotsize ulizokuwa unatumia jumla zifikie sawa na Lot size 5 au zaidi.
Tuchukulie utatumia lotsize ya 0.01 itabid utrade na hiyo lotsize Mara 500 ndani ya siku hizo 30.
Kama utaamua Kutumia lotsize ya 0.05 itabidi utrade kwa Kutumia hiyo lotsize Mara 100 ndani ya hizo siku 30.
Kama utatumia lotsize ya 0.10 itabidi utrade na hiyo lotsize Mara 50 ndani ya hizo siku 30.
Unaruhusiwa kubadilisha lotsize kadri ya utakavyoona opportunity yako imekaaje sokoni ,sio kwamba ukianza na lotsize ya 0.05 ndo utumie hiyohyo tu Hadi siku 30 hapana , unaruhusiwa kubadilisha , Ila baada ya siku 30 jumla ya lotsize ulizotumia zifikie sawa na 5 lotsize.
[emoji1485]Kumbuka BONUS hii unapewa Mara moja tu .
[emoji1485] Yeyote aliyejisajiri TEMPLERFX anaruhusiwa kuomba bonus hii na anapata endapo Taarifa zake zimeshaverified
[emoji1485] Profit na bonus ndo unaweza kuwithdraw pamoja na kufanya internal transfer Kama umekidhi vigezo na masherti.
Kama hujajisajiri TEMPLERFX unaweza kujisajili Sasa kwa kubonyeza link hii ili kupata bonus Sign up - TemplerFX members area
Akili kama hizi, CCM itatawala milele, mkuu hili bando unalotumia kuandika hivi si bola ungetafuta maarifa zaidi juu ya FX marketIts not as easy as you lead us to believe. Kama ingekuwa that easy Bakhresa asingehangaika na maviwanda.
Hiyo ni artificial manipulation ya currency, iko siku moja watasema tu market ime crush na wata wipe off pesa zote ndani ya accounts.
I know a thing or two about FX market even before you were conceived.Akili kama hizi, CCM itatawala milele, mkuu hili bando unalotumia kuandika hivi si bola ungetafuta maarifa zaidi juu ya FX market
Hizi njaa hizi zitafanya watu mtoane roho bure. Uko vizuri maanake ndio nini? π π πAsee kaka naomba unicheki kwa 0742024193. Tufanye kazi niko vizuri FOREX