Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Haizuii chochote pia inatoka kirahisi sanaShida niliweka sterring lock usiku
Una mafuta ya mwamposaa na maji karibu mwagua HAPONi pikipiki aina ya boxer 125, imegoma ghafla tu niliipaki usiku nikazima ila cha ajabu asubuhi imekataa kutoa lock, wataalamu shida inaweza kuwa nini na inasababishwa na nini na je ni kawaida tu au kuna shida mahali?
Kabla sijamaliza naona wameitupia Pepo la kifo YAAN isiwake kabisa kuwa makini na uendeshaji ikiwaka watakuwahi kwenye ajali ndio mana NASHAURI nenda kachukue mafuta na maji ya mwamposaNi pikipiki aina ya boxer 125, imegoma ghafla tu niliipaki usiku nikazima ila cha ajabu asubuhi imekataa kutoa lock, wataalamu shida inaweza kuwa nini na inasababishwa na nini na je ni kawaida tu au kuna shida mahali?
Mmmmh 😂😂Una mafuta ya mwamposaa na maji karibu mwagua HAPO
Nipe MREJESHO mkuu kama huna kanunue kawe bk 2
acha porojo ndio umwambie sasa jinsi ya kutoa hiyo steering lock kama unavyojinasibu hapa..Haizuii chochote pia inatoka kirahisi sana
Nitamwambia Private au na wewe unataka ujue ili uache wizi wa kuku uanze kuiba pikipiki za watu?acha porojo ndio umwambie sasa jinsi ya kutoa hiyo steering lock kama unavyojinasibu hapa..
Tafuta Kiki kwa pikipikiPikipiki kuwasha siyo lazima utumie ufunguo
Umeitoa wapi hio pikipiki?Shida yangu nataka nijue hili tatizo ni common kwa watumiaji wa pikipiki au ndo limenitokea mimi tu