Msaada: Gari aina ya Jaguar

Software Engineer

JF-Expert Member
Joined
Dec 20, 2014
Posts
344
Reaction score
137
Wadau hii gari HAPA vp kwa mazingira ya Tanzania?

1. Upatikanaji wa spare
2. Matatizo yake ya mara kwa mara
3. ...
 
Sina ujuzi sana wa haya magari. Ila kusema kweli ni machache Tanzania so tegemea spare kuzipata changamoto ila zipo.

Pia umaweza kuagiza nje ndani ya muda mfupi unaipata.

Always tunashauri mtu anunue gari roho inayopenda. Acha uwoga wa spare, ubovu, wala nn.

Gari ukilieshimu kwa service litadumu sana.
 
Hizo gari ni nzuri sana ila balaa linakuja zikianza kusumbua ya jamaa yangu ilizingua nozzle moja ilikaa gereji karibia miezi sita ndio ikaagizwa toka UK.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…