Wakuu habari za majukumu,
Naomba msaada nina Suzuki Kei tatizo lake ni unapoendesha haina nguvu kabisa lakini ukirudisha reverse inakubali na ina nguvu vizuri tu.
Je, wakuu hapo tatizo nini? Nipo Dodoma lakini mafundi kama watatu wananambia ni gia box. Je, wakuu ni sawa?
Naomba msaada
Sent using Jamii Forums mobile app
Ninayo yangu ilikuwa unasumbua hivyoo hivyoo. Kabadilishe coil/plug. Zitakua zinafanya mbili.
Unywaji wa mafuta ukoje??
Hahaha, yaani coil na plug zinaiogopa reverse au? Hahah be seriousNinayo yangu ilikuwa unasumbua hivyoo hivyoo. Kabadilishe coil/plug. Zitakua zinafanya mbili.
Unywaji wa mafuta ukoje??