Msaada gari yangu inaandika auto lamp inoperative!

Msaada gari yangu inaandika auto lamp inoperative!

marisi schwein

JF-Expert Member
Joined
Dec 3, 2013
Posts
1,037
Reaction score
3,146
Gari ni Mercedes C200 Kompressor w204 inaandika autolamp function inoperative.

Tatizo litakuwa ni nini?
9DDF90F1-F17D-45CC-BDA1-A8DC594E1B4F.jpeg
 
Gari ni Mercedes C200 Kompressor w204 inaandika autolamp function inoperative. Tatizo litakuwa ni nini?
Unajua auto lamp ni nini? Ni ile function ya taa kujiwasha au kujizima kutegemea na mwanga uliopo. Hapo sasa hio function haifanyi kazi. Ni kwamba sensor yake ina tatizo.
Haizuii taa kuwaka,set manual tu uwe unawasha mwenyewe mpaka ukirekebisha hio sensor.
 
Kiongozi
Hongera sana kwa Kumiliki hiyo kitu,
Kwanza nikutoe wasiwasi kuwa sio taitizo kubwa; Kilicho haribika hapo ni Automatic mode ya taa na Wiper
Ukipata hiyo message;
1. Taa hazita weza kujipunguza kwenda Low zenyewe
2. Wiper haitajiwasha yenyewe Mvua ikinyesha
3. Taa hazitajiwasha zenyewe mwanga ukipungua

Maana yake ni kuwa;
Hivyo vitu vitafanya kazi bila shida kwa Kuvi operate manually hivyo endelea tu kuendesha bila wasiwasi kwa kuoperate manually hadi utakapo tengeneza.

Matengenezo yake;
Hako ka sensor kapo hapo mbele kwa driver kwa juu ya kile kioo cha katikati. Kama umtundu unaweza kukachomoa hapo na kuangalia namba zake (zinakuwa kwa mfumo huu A204 870 47 26.); ukizipata unaweza kuagiza au umpe mtu akuagizie (sio ghali) kakija unakapachika au unatafuta fundi akuwekee.
Muhimu: kwa magari ya high end kama Benz, Usiagize spare bila kuwa na namba ya spare parts (kwani huwa haziingiliani)
 
Unajua auto lamp ni nini? Ni ile function ya taa kujiwasha au kujizima kutegemea na mwanga uliopo. Hapo sasa hio function haifanyi kazi. Ni kwamba sensor yake ina tatizo.
Haizuii taa kuwaka,set manual tu uwe unawasha mwenyewe mpaka ukirekebisha hio sensor.
Asante sana mkuu
 
Kiongozi
Hongera sana kwa Kumiliki hiyo kitu,
Kwanza nikutoe wasiwasi kuwa sio taitizo kubwa; Kilicho haribika hapo ni Automatic mode ya taa na Wiper
Ukipata hiyo message;
1. Taa hazita weza kujipunguza kwenda Low zenyewe
2. Wiper haitajiwasha yenyewe Mvua ikinyesha
3. Taa hazitajiwasha zenyewe mwanga ukipungua

Maana yake ni kuwa;
Hivyo vitu vitafanya kazi bila shida kwa Kuvi operate manually hivyo endelea tu kuendesha bila wasiwasi kwa kuoperate manually hadi utakapo tengeneza.

Matengenezo yake;
Hako ka sensor kapo hapo mbele kwa driver kwa juu ya kile kioo cha katikati. Kama umtundu unaweza kukachomoa hapo na kuangalia namba zake (zinakuwa kwa mfumo huu A204 870 47 26.); ukizipata unaweza kuagiza au umpe mtu akuagizie (sio ghali) kakija unakapachika au unatafuta fundi akuwekee.
Muhimu: kwa magari ya high end kama Benz, Usiagize spare bila kuwa na namba ya spare parts (kwani huwa haziingiliani)
Asante sana mkuu
 
Back
Top Bottom