Wakuu,
Nini sababu ya gari yangu inatumia mafuta. Nimeangalia mfumo wa engine yake haitimii curburator, ni direct injection.
Aina: Hillux double cabin
Fuel: petrol engine
Cc: 1998 (approx 2000cc)
Milleage: 150,000km
Note: Pressure tyre huwa nakagua iko safi, napita lami hivyo mara kwa mara natembelea (75% ya safari) gear gears #4 au #5 nabalance mafuta vizuri tu (60 to 100kmh) Exhaust haitoi moshi hata tone na gari ina nguvu tu vizuri.
Ungenunua inayokula ugali
Ndugu zako wanakuonea wivu, wametuma jini kwenye Gari yako. Jini Hili linamaliza mafuta yako. Fanya sala kabla hujaanza safari, ombea Gari yako, ombea barabara utakazotumia, pia kema kila Roho inayomalizaafuta kwa njiani isiyo ya kawaida6 hadi 7
Jini ni yeye mwenyewe asieshughulikia gari, mda alionao nikuendesha tu.Ndugu zako wanakuonea wivu, wametuma jini kwenye Gari yako. Jini Hili linamaliza mafuta yako. Fanya sala kabla hujaanza safari, ombea Gari yako, ombea barabara utakazotumia, pia kema kila Roho inayomalizaafuta kwa njiani isiyo ya kawaida
The Reptilians - Humanity's Historical Link To The Serpent RaceJini ni yeye mwenyewe asieshughulikia gari, mda alionao nikuendesha tu.
Mkuu km 6 hadi 7 mbona saafi6 hadi 7
Matumizi ya neno unga hayaruhusiwi kutumika nchi hii..ngoja B.ashite akusikie[emoji23] [emoji23]Sahani ngapi sasa... Unga umepanda mkuu[emoji15]
mbona kawaida sana mkuu6 hadi 7