malembeka18
JF-Expert Member
- Jan 26, 2018
- 3,266
- 3,698
Msaada wenu wadau gari ya kampuni gani nzuri inayofanya safar zake Dar - Bukoba na muda gani gari inafika bukoba
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Last time ilikuwa unafika bukoba saa saba mchana siku ya pili basi frester
Mnalala kahama sijajua kwa Sasa kama wanatembea Moja kwa Moja. Mkuu Kagera ni kakipande karefu sanaYaan ukitoka dar saa kumi nambili asubuh unafika buko kesho saa Saba mchana
Hivi gari zao hakuna zenye vyoo ndani wanaita vvipKuna abood pia japo wahudumu wana midomo michafu km mitaro ya daslam
Kwani kahama gari zinafika saa ngap? Maana Sasa hivi gari sizina tembea masaa24Mnalala kahama sijajua kwa Sasa kama wanatembea Moja kwa Moja. Mkuu Kagera ni kakipande karefu sana
Saa nne/tanoHivi gari zao hakuna zenye vyoo ndani wanaita vvip
Kwani kahama gari zinafika saa ngap? Maana Sasa hivi gari sizina tembea masaa24
Zinazoondoka jioni hazilali njianiHivi gari zao hakuna zenye vyoo ndani wanaita vvip
Kwani kahama gari zinafika saa ngap? Maana Sasa hivi gari sizina tembea masaa24
Land was made for land cruiser.Msaada wenu wadau gari ya kampuni gani nzuri inayofanya safar zake Dar - Bukoba na muda gani gari inafika bukoba
Kama luxury Happy nation nauli 120k,pia abood,civito,frester wako poa,muda wa safari kuanzia masaa 20Msaada wenu wadau gari ya kampuni gani nzuri inayofanya safar zake Dar - Bukoba na muda gani gari inafika bukoba
chukua ndege tu. ATCL wana ndege ya DAR-BKZ kila siku: nauli ni karibu sana na nauli ya basi na uchovu wake.Msaada wenu wadau gari ya kampuni gani nzuri inayofanya safar zake Dar - Bukoba na muda gani gari inafika bukoba