edger jairos
JF-Expert Member
- Apr 17, 2017
- 335
- 71
Nina gx 100 1g kavu.
Brake zipo mbali karibia na kuisha kbsa au za kupamp.
Pia nikiwa spidi ya 65 na nhasa ninapobana brake , gari inayumba kama alama ya S ivi..
Niliwah nyuma kupiga alignment.
Je ni nn tatzo.Ikiwezekana ghrama..??
Hili la kuyumba njian ndio linanipa tabu sana.ninapokua spidi ya 60 kushuka chini inatulia.
Msaada wa ushaur hasa wa kiufundi plz..
Brake zipo mbali karibia na kuisha kbsa au za kupamp.
Pia nikiwa spidi ya 65 na nhasa ninapobana brake , gari inayumba kama alama ya S ivi..
Niliwah nyuma kupiga alignment.
Je ni nn tatzo.Ikiwezekana ghrama..??
Hili la kuyumba njian ndio linanipa tabu sana.ninapokua spidi ya 60 kushuka chini inatulia.
Msaada wa ushaur hasa wa kiufundi plz..