Nyamtala Kyono
Senior Member
- Sep 23, 2010
- 163
- 34
Wakuu,
Katika pekuapekua zangu kwenye thread za ujenzi sijakutana na moja yenye kuelezea jambo la muhimu kama ulinzi wa nyumba hasa fence.
Hapa ningependa tupeane mawazo na hata ikibidi picha za fence za kuta nzuri na imara ambazo pia ziko unique.
Bianfsi hiki kitu kinaniumiza kichwa sana. Nataka kitu unique na chenye mvuto.
Karibuni
.............
Mkuu naomba uni PM maana me ni architect nweza design hiyo fencing wall na ukapata kazi safi kabisa including cost estimation zake.
....
Weka mambo hapa hapa, hii maneno ya pm ya nini? Kama kila mtu akiamua ku pm kutakuwa na habari hapa?
Wakuu,
Katika pekuapekua zangu kwenye thread za ujenzi sijakutana na moja yenye kuelezea jambo la muhimu kama ulinzi wa nyumba hasa fence.
Hapa ningependa tupeane mawazo na hata ikibidi picha za fence za kuta nzuri na imara ambazo pia ziko unique.
Bianfsi hiki kitu kinaniumiza kichwa sana. Nataka kitu unique na chenye mvuto.
Karibuni
Weka mambo hapa hapa, hii maneno ya pm ya nini? Kama kila mtu akiamua ku pm kutakuwa na habari hapa?
Wakuu,
Katika pekuapekua zangu kwenye thread za ujenzi sijakutana na moja yenye kuelezea jambo la muhimu kama ulinzi wa nyumba hasa fence.
Hapa ningependa tupeane mawazo na hata ikibidi picha za fence za kuta nzuri na imara ambazo pia ziko unique.
Bianfsi hiki kitu kinaniumiza kichwa sana. Nataka kitu unique na chenye mvuto.
Karibuni
We acha kuremba sasa kinachokuumiza kichwa hapo ni nini?kama umeamua kujenga fensi nunua tofali jenga sasa unakuja kutuwekea hapa ili nini?sidhani kama kujenga fensi ni jambo la kuja kudiscuss hapa jf wewe cha kufanya nunua tofali za kutosha tafuta fundi jenga sio kila kitu lazima ukilete humu
ureni hii pia inaweza kuwa sehemu ya elimu kwa wengine na ndio maana tupo,kuna mengi tunajifunza....kama kinakufaa chukua kama hakikufai endelea na threads zingine humu au hamia mmu
Mkubwa ratio ni meter moja kwa motofali 20 pima mzingo wa eneo lako zidisha mara 20! Idadi ya tofali utazopata zidisha mara 1.3 utapata idadi ya matofali ya kumlipa fundi.
~hyo idadi ya matofali x 250 hapo utapata hela ya ufundi
~matofati 200 kwa mfuko 1
Weka mambo hapa hapa, hii maneno ya pm ya nini? Kama kila mtu akiamua ku pm kutakuwa na habari hapa?
Nimeamua kununua mtambo wangu mwenyewe wa kufyatulia matofali na blocks, kwa utaratibu huo naweza kupunguza ghrama za ujenzi wa ukuta kwa theluthi moja, pia nawaweka vijana wanaoweza kutengeneza ya ziada ambayo yatasaidia kuwapa mlo na kurudisha gharama za kununulia mitambo hiyo, wakifanikisha bidhaa hiyo hawa vijana si nitakuwa nimeshawatengenezea ajira?
\We acha kuremba sasa kinachokuumiza kichwa hapo ni nini?kama umeamua kujenga fensi nunua tofali jenga sasa unakuja kutuwekea hapa ili nini?sidhani kama kujenga fensi ni jambo la kuja kudiscuss hapa jf wewe cha kufanya nunua tofali za kutosha tafuta fundi jenga sio kila kitu lazima ukilete humu
Mkubwa ratio ni meter moja kwa motofali 20 pima mzingo wa eneo lako zidisha mara 20! Idadi ya tofali utazopata zidisha mara 1.3 utapata idadi ya matofali ya kumlipa fundi.
~hyo idadi ya matofali x 250 hapo utapata hela ya ufundi
~matofati 200 kwa mfuko 1
We acha kuremba sasa kinachokuumiza kichwa hapo ni nini?kama umeamua kujenga fensi nunua tofali jenga sasa unakuja kutuwekea hapa ili nini?sidhani kama kujenga fensi ni jambo la kuja kudiscuss hapa jf wewe cha kufanya nunua tofali za kutosha tafuta fundi jenga sio kila kitu lazima ukilete humu