Mafian cartel
JF-Expert Member
- Nov 19, 2021
- 3,876
- 7,118
Kawaida tu mkuuBut am very fear [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Leseni watampiga 150k akiwaacha wamsaidie kuitafuta, yeye mwenyewe akifwatilia 80k tu itatosha, 70k ya leseni na 10 nauli anapata leseni ndani ya siku 3-5 muhimu awe na cheti toka chuo alichosoma na uthibitisho wa driving test.Nenda chuo...tafuta cha private malipo ni kuanzia elfu 70 kwa wiki na kwa mwezi 250,000 . Leseni watakusaidia kushughulikia ila utailipia wewe.
Ni sahihi kabisa yani, vyuo vingi siku hizi hawawapeleki wanafunzi wao kwa VEHICLE INSPECTOR kutestiwa, bafala yake wanawatafutia leseni wateja wao ili wawapige cha juu. Siku ukipata majanga barabarani Polisi wakikudadisi ktk maelezo uliipataje leseni unasema nilipewa chuoni nilikosomea, mahakamani hakimu akiamka vibaya anawaagiza Polisi namtaka Vehicle Inspector aliyetoa leseni, Polisi nao hidi kwa RTO mahakama inamuhitaji V/Inspector alietoa leseni yenye No. hii unakuta haipo kwenye kumbukumbu za ma V/Inspector Tanzania. Tarehe ikifika ya mahakamani majibu ni kwamba Leseni ni HEWA. Hapo ndio utajua kuwa TRA sio watu bali ni ofisi.Leseni watampiga 150k akiwaacha wamsaidie kuitafuta, yeye mwenyewe akifwatilia 80k tu itatosha, 70k ya leseni na 10 nauli anapata leseni ndani ya siku 3-5 muhimu awe na cheti toka chuo alichosoma na uthibitisho wa driving test.
Sent from my CPH1989 using JamiiForums mobile app
Ukitaka kujua gari uwe nalo karibuSio kwako tu ni ngeni kwa karibu wote humu. Unapaswa kwanza uwe na gari umelipaki nje, alaf unakula darsa la kutosha kuanzia mlango unafunguliwaje hadi taa zinawashwaje hadi kila kitu, ukimaliza unaenda ku practice huko nje.
Mambo ya ulaya hayoNi sahihi kabisa yani, vyuo vingi siku hizi hawawapeleki wanafunzi wao kwa VEHICLE INSPECTOR kutestiwa, bafala yake wanawatafutia leseni wateja wao ili wawapige cha juu. Siku ukipata majanga barabarani Polisi wakikudadisi ktk maelezo uliipataje leseni unasema nilipewa chuoni nilikosomea, mahakamani hakimu akiamka vibaya anawaagiza Polisi namtaka Vehicle Inspector aliyetoa leseni, Polisi nao hidi kwa RTO mahakama inamuhitaji V/Inspector alietoa leseni yenye No. hii unakuta haipo kwenye kumbukumbu za ma V/Inspector Tanzania. Tarehe ikifika ya mahakamani majibu ni kwamba Leseni ni HEWA. Hapo ndio utajua kuwa TRA sio watu bali ni ofisi.
Mtetezi wa leseni ni V/Inspector na sio Mkufunzi wa Driving.
Ushauri, tafuta chuo kinachoeleweka sio tu kinachojulikana na ukutane na sahihi/saini ya V/inspector. Wanao kushauri uwende veta jua wanakupenda na kukupendelea poa, maana maveco wapo mule mule.
Ila bila cheti cha mafunzo ya udereva, siku hizi kuna kazi sana kupata leseni, kwani nakala ya cheti cha mafunzo lazima kibaki kwa trafiki mkuu (vehicle inspector)Mpaka leseni bajeti yako isiwe chini ya laki 3 maana kujifunza utajifunza ila leseni Hadi uhonge.
Ukifuata Sheria itakuchukua mda sana adi kuipata
Huu Ni ushauri muhimu sana sana. Zingatia ushauri huu hutakuja ujute.Nakushauri uende chuo cha mafunzo ya udereva, ili uweze kujifunza udereva pamoja na kuelewa sheria za usalama barabarani vizuri. Vijana wengi leo hii hapa nchini wanaoendesha pikipiki(bodaboda) hawana uelewa juu ya sheria za usalama barabarani matokeo yake ni ajili nyingi na kupelekea vifo na ulemavu.
Sent from my SM-A025F using JamiiForums mobile app
Tatizo siyo kufundishwa. Ili uweze kuendesha chombo cha moto nilazima uwe na leseni. Leseni hupati mpaka uwe na cheti cha mafunzo ya udereva toka taasisi inayotambulika. Kama hutaki kusumbuliwa zingatia hayo.Mh lakini kama mtaana napata mtu akanifundisha vizuri sana kuliko kawaida je ni vibaya
ThanksKwa mawazo yangu AENDE CHUONI (VETA)
Aende Chuoni, akitoka huko amtafute huyo wa Veta kwa ajili ya mazezi.
Huyo aliyejifunzia VETA sio lazima awe anazijua taratibu vizuri; Mbona watu wanasoma wote kutoka darasa la kwanza hadi la Saba ila wakifanya mtihani wengine wanapata Hesabu 90% na mwingine anapata 25% na wote wamesoma shule moja
Siku ukimkanyaga jamaa zake Mpoki wa comedian, ndio utajua kama na wao kweli walisomea ulaya.Mambo ya ulaya hayo
Mkuu ww upo kama mm tu, sikuwahi kwenda driving school ila nilijifunza kupitia YouTube na siku nimeshika gari nusu saa tu ilitosha kuniingiza barabarani rasmiMwaka flani enzi izo mie nilijifunza gari kwa kutumia Youtube, sijawai kufundishwa na mtu, na mpaka sasa am the best driver ki ukweli ukweli. damn! how special i am[emoji16]