Msaada - Gharama za kukodi Bull Dozer kwa Dar

Mgombezi

JF-Expert Member
Joined
Mar 23, 2009
Posts
610
Reaction score
181
Wana JF; nahitaji kukodi bull dozer kwa ajili ya kuvungja msitu maeneo ya kisarawe, kwa yeyote anayefahamu kampuni au mtu ambaye anakodisha mashine hii na gharama zake kwa siku au saa.

Natanguliza shukrani
 

Nahitaji excavator ya kununua used 320
 
Ni kama $16,500 USD hadi $22,000 kwa mwezi.

Mkuu, nikiwa na TSh.10 mil, nitapata grader kwa kukodisha la aina gani na kwa muda gani? Vile vile naomba uniambie kwa shs.milioni 5 je, unapata la aina gani na kwa muda gani? Ahsante.
 
Mpigie Hamisi Nkamu +255764272822 atakupa mwongozo.
Kwa siku ni kati 600,000 hadi 800,000/
 
Ningependa kufahamu
1.brand
2.model
3.mwaka
4.bajeti yako
ili iwe rahisi kujua unayohitaji na kukupatia ushauri zaidi.
asante
mas& rich co.
suppliers of used heavy machinery


Nahitaji excavator ya kununua used 320
 
Ina maana kukodi ni ghali sana hivyo?

Sent from my BlackBerry 9300 using JamiiForums
 
Ina maana kukodi ni ghali sana hivyo?
a.
Sent from my BlackBerry 9300 using JamiiForums

Kama ilivyo ghali kununua na kumaintain! kukodi ni elfu 80 kwa saa, laki 8 kwa siku pungufu unaongea.
 

Nashukuru Mkuu
 
Mpigie Hamisi Nkamu +255764272822 atakupa mwongozo.
Kwa siku ni kati 600,000 hadi 800,000/

Nashukuru na nitafanya mawasiliano, angalau hapa nimepata option ya saa na siku.
 
mkuu ni PM nikusaidie deal nzuri manake ndo kazi yangu
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…