kennedy joshua
Member
- Sep 24, 2014
- 54
- 34
Ndani peke yake?.Wakuu naomba Makadirio ya gharama ya plaster na ufundi nyumba hii ina vyumba vitatu kimoja self..public toilet..sebule,dining na jiko
Ndani na nje bossNdani peke yake?.
Ilio bora ni mifuko 24 ya cement na mchanga tan 12, bei ni maelewano na fundi wako. (500000) ni mfano.Ndani na nje boss
Uko wapi kaka?Wakuu naomba Makadirio ya gharama ya plaster na ufundi nyumba hii ina vyumba vitatu kimoja self, public toilet, sebule, dining na jiko.
View attachment 2584804View attachment 2584805
Unaweza ukatusaidia nyumba kama hizo umepiga kwa gharama gani ufundi na materials? Weka hata range kama hutaki kua specific#Kelv
FINISHING MASTER
House FinishinG
Plasta Ya Kiwango
Urembo wa kisasa
SkimminG na RanGi
Tiles
Usimamizi wa Kazi
[emoji338] 0789005562
Enewei!
Bei za urembo ni hizi hapa [emoji1484][emoji1484]
Dirisha Tsh 40,000
Nguzo Tsh 40,000
Kona Tsh 40,000
Skating Tsh 200,000
Plasta tutapatana tukifika saiti!
Simu : 0789005562
What'sApp link.... [emoji1484][emoji1484]
Wa.me/255789005562
#ujenzi #ujenzizone #ujenziwanyumbaboratz #ujenzizone #ujenzizone_tz #finishing #TANZANIA #tanzania #FINISHING #urembo #uremboniheshima #UremboWaDirisha #urembowanguzo #urembowanyumba #KelvinDecoration #hkdecoration #KevooFinishingMasterView attachment 2591756View attachment 2591758View attachment 2591770View attachment 2591771View attachment 2591772
Unaulizia kuanzia plasta hadi Rangi au Urembo hadi Rangi au skimming hadi Rangi?Unaweza ukatusaidia nyumba kama hizo umepiga kwa gharama gani ufundi na materials? Weka hata range kama hutaki kua specific
Plasta tu kakaUnaulizia kuanzia plasta hadi Rangi au Urembo hadi Rangi au skimming hadi Rangi?
Mkuu hio nyumba ya kwanza imekula mifuko mingapi ya cement?#Kelv
FINISHING MASTER
House FinishinG
Plasta Ya Kiwango
Urembo wa kisasa
SkimminG na RanGi
Tiles
Usimamizi wa Kazi
[emoji338] 0789005562
Enewei!
Bei za urembo ni hizi hapa [emoji1484][emoji1484]
Dirisha Tsh 40,000
Nguzo Tsh 40,000
Kona Tsh 40,000
Skating Tsh 200,000
Plasta tutapatana tukifika saiti!
Simu : 0789005562
What'sApp link.... [emoji1484][emoji1484]
Wa.me/255789005562
#ujenzi #ujenzizone #ujenziwanyumbaboratz #ujenzizone #ujenzizone_tz #finishing #TANZANIA #tanzania #FINISHING #urembo #uremboniheshima #UremboWaDirisha #urembowanguzo #urembowanyumba #KelvinDecoration #hkdecoration #KevooFinishingMasterView attachment 2591756View attachment 2591758View attachment 2591770View attachment 2591771View attachment 2591772
1.2 M kwa nje na ndani!Plasta tu kaka
Kwenye Plasta au urembo?Mkuu hio nyumba ya kwanza imekula mifuko mingapi ya cement?
1.2 M kwa nje na ndani!
Unapiga plasta bei gani kwa square mita?