born again pagan
JF-Expert Member
- Apr 28, 2014
- 2,336
- 1,491
Hii ni kwa aina gani ya Gari mkuu?Dollar 25 elfu Hii ni importation plus modifications
Zote hizo...Hii ni kwa aina gani ya Gari mkuu?
Nashukuru.....unanipa mwanga zaidiZote hizo...
Ila nakushauri uchukue Toyota Supra Ina engine ambayo unaweza kuichezea kama unavyo taka na inaweza kutoa nguvu hadi 1000.
Ina camshaft nzuri sana.
Ucjali mkuu... Ukinunua watafute gtp auto garage wakufanyie tuning wapo vizuri.Nashukuru.....unanipa mwanga zaidi
Wanapatikana wapi hawa?Ucjali mkuu... Ukinunua watafute gtp auto garage wakufanyie tuning wapo vizuri.
Datsun haiwezi kusimama ligi moja na kina Evo 9.......pia Datsun 160j nadhani ni 2WD.Aah!! Tafuta Datsun 160j japokuwa kitu cha zamani lakini utawatoa kamasi wakina renault
Wapo k/nyama mkuu.Wanapatikana wapi hawa?
Ila unaweza ukaichukua na kuifanyia engine swap... Japo itakukosti.Datsun haiwezi kusimama ligi moja na kina Evo 9.......pia Datsun 160j nadhani ni 2WD.
Nataka 4WD
Mkuu hili suala la bei ni changamoto kidogo lakini ili nitimize lengo itabidi ninunue hata gari used halimradi liwe standard.Napenda sana rally, bei zake ni kubwa sana.
Mimi ni mpenzi wa fast cars nimeendesha Leon cupra ni 221kw horsepower na gear 6. 155 max speed.
Nilikuwa na Nissan 280zx nikawa naweka plug za Porsche inachomoka haswa.
Good luck huenda ukafanikisha ndoto yako
Vipi ulaji wa mafuta ulikuwajeNapenda sana rally, bei zake ni kubwa sana.
Mimi ni mpenzi wa fast cars nimeendesha Leon cupra ni 221kw horsepower na gear 6. 155 max speed.
Nilikuwa na Nissan 280zx nikawa naweka plug za Porsche inachomoka haswa.
Good luck huenda ukafanikisha ndoto yako
Kwa kuwa ilikuwa uarabuni unatafuta safari za lazimaVipi ulaji wa mafuta ulikuwaje
Vipi ulaji wa mafuta ulikuwaje
mzee ulifanikiwa?Wakuu habarini za mida na pia poleni na mishe mishe za hapa na pale katika harakati za kulijenga Taifa letu..
engine yake si ndo hiyo 2JZ GTE? hivi used zipo?Zote hizo...
Ila nakushauri uchukue Toyota Supra Ina engine ambayo unaweza kuichezea kama unavyo taka na inaweza kutoa nguvu hadi 1000.
Ina camshaft nzuri sana.
Zipo mzee baba lkn bei yake haifai.engine yake si ndo hiyo 2JZ GTE? hivi used zipo?
kiasi gani bei yake kwa usedZipo mzee baba lkn bei yake haifai.