Msaada: Glucose RBS 5-6

debon

Senior Member
Joined
Oct 6, 2011
Posts
145
Reaction score
89
Habari zenu wanaJF,

Naombeni nijue maana ya hicho kipimo cha sukari kwenye damu, kuna ndugu kapima kapata hayo majibu dactari mmoja kasema iko chini sana na mwingine kasema ni ndogo sana.

Naomba kujua asante.

Glucose RBS 5-6mm1/L
 
Hiyo ni normal level.........Random Blood Glucose (RBG) akiwa tiari kala inatakiwa kuwa 2,5mmol/l -10mmol/l (45mg/dl-180mg/dl) au kama hajala...

Fasting blood Glucose FBG iwe si zaid ya 7mmol/l.......So mkuu usiwe na wasiwasi iko safi kabsa!
 
Kama alivyo sema mkuu apo juu...kwa kutumia glucometer (RBG) in mmol/l normal tange inacheza kuanzia 3.5mmol/l-8mmol/l below hapo ni hypoglacemia (sukari yaku shuka) na above hapo ni hyperglaceamia. pia vizio vyaweza tolewa in terms of mg/dl inategemeana na test wanayo tumia either chemistry analser machine or qualitative test by using GOT.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…