Msaada guys, Windows 7 inagoma kustart

Msaada guys, Windows 7 inagoma kustart

saidi01

Member
Joined
Oct 10, 2017
Posts
19
Reaction score
10
WINDOWS 7 Inagoma kustart na siba utaalam Wa computer, msaada guyz.
 
Inaleta ujumbe gani?, ukiambatanisha na picha itakuwa vyema.
 
Mara nyingine ni ram zikiyumba computer haiwaki feni inakuwa inazunguka tuu ila ile taa ya nyano ya kuonyesha kuwa ipo tayari haiwaki. Ukizicheki ram kuzitoa , kupangusa vumbi na kuzirudisha vizuri kwenye reli yake inaweza kuwaka
 
Back
Top Bottom