Mara nyingine ni ram zikiyumba computer haiwaki feni inakuwa inazunguka tuu ila ile taa ya nyano ya kuonyesha kuwa ipo tayari haiwaki. Ukizicheki ram kuzitoa , kupangusa vumbi na kuzirudisha vizuri kwenye reli yake inaweza kuwaka
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.