Msaada haka kaswali

Nelson nely

JF-Expert Member
Joined
Jan 25, 2014
Posts
4,251
Reaction score
2,869
Humu tunaitana mkuu bila kujuana jinsia(kama member wamezuia profile zao kwa baadhi ya watu{halafu kwanini watu mnalimit watu wa kuona profile zenu?hata gender tu?}),umri au vyeo.Sasa ikitokea members humu wamependana wakakubaliana kuishi kama mke na mume(kama members fulani maarufu humu),je mkiwa pamoja bado mtaitana wakuu mkiwa chumbani?
Asanteni.
 

Mind your own business please.
 
Wewe soma posts na comments, mambo ya kuchunguza avatar, Id's, jinsia yatakusumbua bure
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…