Joseverest
JF-Expert Member
- Sep 25, 2013
- 52,812
- 71,392
Naomba kufahamu hili jambo kisheria,, inakuwaje pale mwananchi anapokosa haki yake ya kimsingi kwa mujibu wa katiba kutokana na uzembe wa mamlaka za kiserikali?
Je malalamiko ya kisheria yanakuaje kuaje? Wenye uelewa na sheria nifahamisheni....
Je malalamiko ya kisheria yanakuaje kuaje? Wenye uelewa na sheria nifahamisheni....