Joseverest JF-Expert Member Joined Sep 25, 2013 Posts 52,812 Reaction score 71,392 Jun 19, 2015 #1 Naomba kufahamu hili jambo kisheria,, inakuwaje pale mwananchi anapokosa haki yake ya kimsingi kwa mujibu wa katiba kutokana na uzembe wa mamlaka za kiserikali? Je malalamiko ya kisheria yanakuaje kuaje? Wenye uelewa na sheria nifahamisheni....
Naomba kufahamu hili jambo kisheria,, inakuwaje pale mwananchi anapokosa haki yake ya kimsingi kwa mujibu wa katiba kutokana na uzembe wa mamlaka za kiserikali? Je malalamiko ya kisheria yanakuaje kuaje? Wenye uelewa na sheria nifahamisheni....
Mwandwanga JF-Expert Member Joined Dec 2, 2011 Posts 3,059 Reaction score 1,572 Jun 19, 2015 #2 Haki gani hiyo uliyokosa?
Joseverest JF-Expert Member Joined Sep 25, 2013 Posts 52,812 Reaction score 71,392 Jun 19, 2015 Thread starter #3 tunabishana na watu hapa,,, kwenye suala la bvr kwa wale ambao hawajaandikishwa na vigezo vipo...
Viva89 JF-Expert Member Joined Sep 28, 2012 Posts 1,261 Reaction score 528 Jun 19, 2015 #4 kwa nn hawajaamdikishwa,ni jibu gani wanalopewa kwa kutokuandikishwa?