Naona aibu.. Ila wewe si unanijua binamu yako. Kwani uongooo?My kaka hapo ndio umeandika nini?
Pooole shogaakeee hii inaitwa ukikimbia nchale ukichimama nkuki wapi miss chaga aje atoe elimu shirikishi humuKiru, je ingekuwa wewe ungefanya hivyo?! Ungerudi temeke?!
Kabsaa
Yeleuuuwi angekuwa dadako ungemwambia ivyo?!
Kula uliwe.Hivi hakuna wanaume mahanithi wahongaji?
Alafu kwani ni lazima mkitoa hela hadi mpewe naniliu? Si mnatoa tu jamani na Bwana anawabariki.
Nilijua tuuuu.. Lazima uje kwenye huu uzi, hapa nawaza nitakupiga stail gani manake chuma mboga lazima nitakuumiza..binti kula pesa nyege utazitoa tu hata kwa mafuta ya taaa
Tena Kwa hii awamu labdaHivi unaijua milioni vizuri?Anafanya kazi idara gani hadi aweze kukupa milioni kila siku?Punguza chumvi kidogo mdogo wangu
Mie mwenyewe nimemkuta Saint Ivuga anang'ang'ana nao.Kimenipita hiko kiko ap
Hivi milioni kwa siku hata hizo nyege nazitoa wapi!!binti kula pesa nyege utazitoa tu hata kwa mafuta ya taaa
Nitakupigia nitakupigiaaaaa ngoja kwanza nifunge mahesabu yangu hapaNaongea na wewe, huoni wote tunashangaa hapa!
mmhMie mwenyewe nimemkuta Saint Ivuga anang'ang'ana nao.
[emoji3] [emoji3] [emoji3] [emoji3]Nitakupigia nitakupigiaaaaa ngoja kwanza nifunge mahesabu yangu hapa
hata sielewi kwa kweli hicho kibamia ndiyo kizuri pesa na wala sisuguliwi kwa masifa kitu kinaguswa kidogo kinabaki tehHivi milioni kwa siku hata hizo nyege nazitoa wapi!!
Mweeeh kuna wa milioni 7 kwa dakika?Tanzania hii hii?Yule wa m7 kwa dk unamkumbuka?