hahahah ngoja ajeMie nimeghairi zamaaani kabla yako, abaki na kimbilimbi chake.
[emoji16] [emoji16] [emoji16] [emoji12] Ndio maana kasema amejaaliwa. Her private parts have suffered already!!......and their private parts will always suffer.....!!!!!
Hivi umeishawahi kuhongwa kila siku milioni mdogo wangu?Hili lina ukweli, wachache sana huwa wanafanya ya maana.
Umeishapata japo robo ya hiyo bahati ya kuhongwa kila siku kwa siku 5 mfululizo?Apartment vepeeee......lolhahahah ngoja aje
Ni vizuri mkibahatika kupata wahongaji kama hao muwekeze ili akikuchoka na kuchukua mwingine una pa kuanzia. Sio unabaki kusimulia tu ilikuwa hivi vile......
Hivi unaachaje hela lkn!!
Kwakweli wanaume walitakiwa wawe na pesa na masai sio kuwekana njia panda namna hii.
...wanaopewa pesa kiasi hicho(wanaohongwa) mara nyingi wana akili "fupi", hawawezi kufikiri mambo ya mitaji na kujenga hata siku moja.
Huyo dada ni mmoja wao, uwezo wake umeishia kulipiwa apartment oysterbay, kupelekwa sea cliff, kupewa gari kali wakati kadi jamaa kaitunza home.
Hili lina ukweli, wachache sana huwa wanafanya ya maana.
......and their private parts will always suffer.....!!!!!
Ndio wapo kibaoHivi kumbe wanawake wenye "mizigo" wanajua kuwa wana mizigo!!! Hahaha, manake kweli wapo waliojaaliwa, kama ni dushe tungesema "mandingo"...
sijapata dada ukipata niwekeUmeishapata japo robo ya hiyo bahati ya kuhongwa kila siku kwa siku 5 mfululizo?Apartment vepeeee......lol
Ni sheedah[emoji16] [emoji16] [emoji16] [emoji12] Ndio maana kasema amejaaliwa. Her private parts have suffered already!!
ahhaaaaasijapata dada ukipata niweke
mi nasubiri mambo ya dushe tafadhali harakishaNi sheedah
Ngoja wengine waendelee ku comment nilete uzi wa dushe sasa maana hapa sipati msaada mnakimbilia kwenyw vitu na kuhonga
Jamani tumeomba msaada sio kumsema dads wa watu au mlitaka niandike full story yake ndio mumwone jembe?!
Elfu kumi tu kwa mwezi ni shida achilia mbali ya kijichumba tandale sijawahi pewa hiyo bahati.Tafuta wewe huko mie huku majanga tupu.....sijapata dada ukipata niweke
sijapata dada ukipata niweke
Duh ama kweli watu wanapesa asee chaliiangu. .khaa one million daily unahonga kwa mameloo [emoji22][emoji22][emoji22]
mi nasubiri mambo ya dushe tafadhali harakisha
Kiru!Ukisoma/akisoma kwa umakini utaelewa/ataelewa kuwa hapo kuna ushauri zaidi ya tani moja.
Jamaani pole sanaElfu kumi tu kwa mwezi ni shida achilia mbali ya kijichumba tandale sijawahi pewa hiyo bahati.Tafuta wewe huko mie huku majanga tupu.....
Jamaaanimwaka mzima huu nilishawai kuhongwa kama laki moja ,jumlisha elf 30 kama tatu hivi jumlisha elf 45 jumla ni sh ngapi ! maana nishaharibu sitapewa tena
Boss unaongea nini?! Kichina au?!Utakuwa wewe ndo unawashwa.
Njoo nikuhonge angalau ufikishe M 1 kwa mwakamwaka mzima huu nilishawai kuhongwa kama laki moja ,jumlisha elf 30 kama tatu hivi jumlisha elf 45 jumla ni sh ngapi ! maana nishaharibu sitapewa tena
sitakiNjoo nikuhonge angalau ufikishe M 1 kwa mwaka