Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Habari ndugu. Nijuavyo mimi, kama upo Dar, hospitali ya mnazi mmoja pale ndo walikuwa wanatoa hiyo chanjo.Habari wana jamii, samahani ndugu yenu nimepata safari nnje ya nchi sasa sijui chanjo ya manjano inachukua mda gani kudungwa dosi na kupata cheti chake maana safari ipo karibu sana. Naombeni msaada kwa wazoefu tafadhali
Bongo land....😁unataka chanjo yenyewe au unataka cheti cha chanjo boss
Bongo land....😁
Sasa hivi ni 30,000/= na haina ku renew kama zamani.Habari ndugu. Nijuavyo mimi, kama upo Dar, hospitali ya mnazi mmoja pale ndo walikuwa wanatoa hiyo chanjo.
Haina mambo mengi, unaenda na Passport yako unasema unataka chanjo ya manjano.
Utapewa chanjo hapo hapo na cheti kinatolewa muda huo huo. Sina uhakika sana ila nadhali huduma hiyo wanatoa kila Jumanne.
Chanjo yenyewe ilikuwa inatolewa kwa shilingi elfu tano enzi hizo. Mimi nilipewa nadhani mwaka 2009, lazima kutakuwa na mabadiliko mengi.
Ni sahihiHabari ndugu. Nijuavyo mimi, kama upo Dar, hospitali ya mnazi mmoja pale ndo walikuwa wanatoa hiyo chanjo.
Haina mambo mengi, unaenda na Passport yako unasema unataka chanjo ya manjano.
Utapewa chanjo hapo hapo na cheti kinatolewa muda huo huo. Sina uhakika sana ila nadhali huduma hiyo wanatoa kila Jumanne.
Chanjo yenyewe ilikuwa inatolewa kwa shilingi elfu tano enzi hizo. Mimi nilipewa nadhani mwaka 2009, lazima kutakuwa na mabadiliko mengi.
"inachukua mda gani kudungwa dosi na kupata cheti chake", jibu umelisoma kisha unauliza!unataka chanjo yenyewe au unataka cheti cha chanjo boss
Mkuu hii imekaaje?? Kama nataka certificate yake tu kwa raia wa kigeniunataka chanjo yenyewe au unataka cheti cha chanjo boss
Kipindi cha nyuma kulikuwa na jamaa wanakupa hiyo kadi kwa elfu kumi. Inakuwa imegongwa muhuri na kila kitu ila sidhani kama bado wanafanya ile ishu.Mkuu hii imekaaje?? Kama nataka certificate yake tu kwa raia wa kigeni
Inawezekana. Yangu Ilikuwa ya ku renew kila baada ya miaka kumi.Sasa hivi ni 30,000/= na haina ku renew kama zamani.
Cheti ..... >>> akuje inbox eeeeeunataka chanjo yenyewe au unataka cheti cha chanjo boss
Kwa sasa lazima hiyo 30,000/= ulipie zile janja janja za zamani hakuna, na moja kwa moja utaingia ktk system ,Inawezekana. Yangu Ilikuwa ya ku renew kila baada ya miaka kumi.