Msaada haraka tafadhali kichwa kinanikosesha amani ya kuishi

Kuna jamaa nilisoma naye advanced level alikuwa na tatizo la kuumwa kichwa hadi misuli ya damu inaiona ilivyokaza.
Muhimbili aliambiwa ana Amoeba, akapewa dawa zikaisha hali ikawa vilevile, akaenda tena akapewa miwani ya macho ikamsaidia tu kufanya mtihani lakini hali haikubadilika sana.

Mwisho wa Siku akaenda hospital ya mission Peramiho huko Songea, akaambiwa mwili wake unazalisha damu kwa wingi hivyo anatakiwa kuitoa kila baada ya muda fulani. Hadi leo yupo fresh na familia yake huko mbeya, kikazi nadhani bado anaendelea na utaratibu wa kutoa damu.
 
DALILI ZA KISUKARI AU TB JE ULISHAKWENDA HOSPITALI NA UKAPTA VIPIMO NA JE VIPIMO GANI?
 
DALILI ZA KISUKARI AU TB JE ULISHAKWENDA HOSPITALI NA UKAPTA VIPIMO NA JE VIPIMO GANI?
Ahsante kwa mawazo ndg. Nimepima vipimo vingi sna kcmc ct scan kikiwemo yaani mpaka kuna kipimo nilifuata Arusha ambacho hakikuwepo kcmc ila ni muda mrefu sasa. Yaani nilichoamini ni kuwa walipima vipimo vyote muhimu mpaka hiv hakuna walichogundua na ndio maana nilikata tamaa mpaka leo. Kinachonipa matumaini ni kumbukumbu ya kuanguka utotoni ambayo sikuwa nayo kabla na nahisi tatizo litakuwa shingoni karibu na kichwa. Nafanya taratibu za kwenda hosp kwa sasa.
 
Ahsante ndg yangu. Mfano mzuri ni majina ya wanafunzi, naweza kumbuka wachache sna na wakimaliza shule ndio kabisa, nikikutana nao ni bahati sna kuwakumbuka hasa majina. Pia nilisoma kwa shida mno, ilinibidi kufanya marudio kwa wingi sna. Kwa ufupi sina kumbukumbu nzuri kwa kila jambo kama mazungumzo, majina nk.
Kwa hiyo unaweza kuelewa jinsi gani kazi ya ualimu ilivyo changamoto kwangu.
 
Hivi kumbe kusema chuo kikuu (udom) na kusema mwalimu wa sekondari
Inawezq kuwa sehemu ya tiba
 
Hivi kumbe kusema chuo kikuu (udom) na kusema mwalimu wa sekondari
Inawezq kuwa sehemu ya tiba
Wewe utakuwa kweka wa kibiti sidhani kama Kilimanjaro kuna kweka mpumbavu kama wewe [emoji35][emoji35]
 
Jibu swali tu
Je hayo maelezo yanawezaje kuwa sehemu ya kutibiwaa
Kuwa mwelewa ndg, nimeeleza hayo ili muweze kujua ukubwa wa tatizo au kwa kiasi gani nimeshindwa kufanya mambo ya maana kutokana na tatizo. Wewe unahisi ni sifa kwangu kwenda udom na kushindwa kuendelea?
 




 
Nenda Hindu Mandal kama uko Dar, mtafute Dr. Vishal au Dr. Ndosi. Nitakupa no. ya Dr. Vishal

Sent from my TECNO-W3LTE using JamiiForums mobile app
 
HUJAPATA VIPIMO VYA KIFUA KIKUU NENDA HOSPITALI YA SERIKALI KITENGO CHA KIFUA KIKUU UONANE NA DAKTARI MAALUM WA KIFUA KIKUU HALAFU MAJIBU UTAKAYO PATA LETE MREJESHO TUKUSHAURI MKUU
 
HUJAPATA VIPIMO VYA KIFUA KIKUU NENDA HOSPITALI YA SERIKALI KITENGO CHA KIFUA KIKUU UONANE NA DAKTARI MAALUM WA KIFUA KIKUU HALAFU MAJIBU UTAKAYO PATA LETE MREJESHO TUKUSHAURI MKUU
Asante kwa ushauri mkuu

Sent from my Halotel H8401 using JamiiForums mobile app
 
Nenda Hindu Mandal kama uko Dar, mtafute Dr. Vishal au Dr. Ndosi. Nitakupa no. ya Dr. Vishal

Sent from my TECNO-W3LTE using JamiiForums mobile app
Asante ndg. Nisaidie

Sent from my Halotel H8401 using JamiiForums mobile app
 
HUJAPATA VIPIMO VYA KIFUA KIKUU NENDA HOSPITALI YA SERIKALI KITENGO CHA KIFUA KIKUU UONANE NA DAKTARI MAALUM WA KIFUA KIKUU HALAFU MAJIBU UTAKAYO PATA LETE MREJESHO TUKUSHAURI MKUU
Sawa mkuu

Sent from my Halotel H8401 using JamiiForums mobile app
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…