Msaada: Hatimiliki na taratibu zake

Msaada: Hatimiliki na taratibu zake

Mdharuba

JF-Expert Member
Joined
Oct 26, 2011
Posts
824
Reaction score
519
Wakuu habari zenu,

Naombeni msaada wa kisheria kujua kuhusu hatimiliki na taratibu zake, na gharama zake zikoje pia!!
Kama kuna mwanasheria ambaye atataka kunisaidia zaidi..naomba anitafute kwenye namba 0718274130, msaada muhimu sana maana nina haki zangu nakaribia kuporwa.

Asanteni
 
Pole sana. Lakini kwa upeo mdogo nilionao juu ya hiyo kitu, ni kama hujafafanua kiundani hiyo mada. Kwani unauliza juu ya hati miliki ya nini? Kiwanja, nyumba, tungo, au gari?
 
Back
Top Bottom