Mdharuba
JF-Expert Member
- Oct 26, 2011
- 824
- 519
Wakuu habari zenu,
Naombeni msaada wa kisheria kujua kuhusu hatimiliki na taratibu zake, na gharama zake zikoje pia!!
Kama kuna mwanasheria ambaye atataka kunisaidia zaidi..naomba anitafute kwenye namba 0718274130, msaada muhimu sana maana nina haki zangu nakaribia kuporwa.
Asanteni
Naombeni msaada wa kisheria kujua kuhusu hatimiliki na taratibu zake, na gharama zake zikoje pia!!
Kama kuna mwanasheria ambaye atataka kunisaidia zaidi..naomba anitafute kwenye namba 0718274130, msaada muhimu sana maana nina haki zangu nakaribia kuporwa.
Asanteni