Wataalamu naomba mnisaidie nina tatizo la ndoa,
Ndoa hii ni ya kikristo ina miaka sita kwa sasa lakini imekuwa na makelele mengi kila kukicha, tumeshatengana mara kadhaa na kusuluhishwa lakini kwa sasa hivi tunaishi tu kama mtu na adui yake ndani ya nyumba moja.
Watu wa nje wanadhani ni ndoa kumbe hamna kitu ni kuwaridhisha tu wale waamuzi kama mchungaji na washauri wa ndoa.
Mimi kwa upande wangu kama mwanamke siridhishwi kuishi na mwanaume ambaye haonyeshi kunipenda kiasi cha kuishi tu kama mtu na adui yake kwa nje watu watuone tuko pamija wakati rohoni kila mtu na mwenendo wake.
Nafikiria kutafuta talaka katika vyombo vya sheria lakini sijua nianzie wapi wala nimalizie wapi wala iweje.
Naomba msaada kwa wanaojua
Ndoa hii ni ya kikristo ina miaka sita kwa sasa lakini imekuwa na makelele mengi kila kukicha, tumeshatengana mara kadhaa na kusuluhishwa lakini kwa sasa hivi tunaishi tu kama mtu na adui yake ndani ya nyumba moja.
Watu wa nje wanadhani ni ndoa kumbe hamna kitu ni kuwaridhisha tu wale waamuzi kama mchungaji na washauri wa ndoa.
Mimi kwa upande wangu kama mwanamke siridhishwi kuishi na mwanaume ambaye haonyeshi kunipenda kiasi cha kuishi tu kama mtu na adui yake kwa nje watu watuone tuko pamija wakati rohoni kila mtu na mwenendo wake.
Nafikiria kutafuta talaka katika vyombo vya sheria lakini sijua nianzie wapi wala nimalizie wapi wala iweje.
Naomba msaada kwa wanaojua