Hata hatuelew lakkn mkoan kote wanasema document zimendaZimekwamia wapi?
Wewe ndio msimamiz wa mirathi ya marehemu !Hata hatuelew lakkn mkoan kote wanasema document zimenda
Uncle wangu ndie msimamiz sio Mimi mkuuWewe ndio msimamiz wa mirathi ya marehemu !
Naomba nielekeze maana nakumbuka tulifanya kila kitu kinachotakiwaShida iko kwa msimamizi wa mirathi, sijui kama unajua sheria hizi? ila kama hujui basi jua msimamizi ndo mhusika mkuu, fatilia ujue je kafata procedures????
Mlifanya procedure gani. Elezea, kama kuna mapungufu tusaidiane.Naomba nielekeze maana nakumbuka tulifanya kila kitu kinachotakiwa
Hoja ya msingi sana mkuu na udhibitisho anaoWewe ndio msimamiz wa mirathi ya marehemu !
Wewe ndo msimamizi wa mirathi?Naomba nielekeze maana nakumbuka tulifanya kila kitu kinachotakiwa
asema uncle ake ndo msimamizi so wameshapigwa tayarWewe ndo msimamizi wa mirathi?
Wewe ndio msimamiz wa mirathi ya marehemu !
mumshtaki huyo anko enu.Uncle wangu ndie msimamiz sio Mimi mkuu
Msimamizi wa mirathi anatakiwa auatilie kwani si kazimrahisi. Hatua gani imefika ili wanasheria wakusaidie pa kuendelea?Ni mwaka wa pili sasa na miez kadhaa tangu kaka yangu amefariki akiwa mwalimu,kama familia tulifanya taratibu zote kuhusu mirathi lakin paka sasa ni hakuna jibu,marehem ameacha watoto mke wakiokuwa wanamtegemege,naombeni msaada nifanyaje kupata mirathi hii
Documents zote zimeenda tayari lakin hakuna majibu yyte mkuuMsimamizi wa mirathi anatakiwa auatilie kwani si kazimrahisi. Hatua gani imefika ili wanasheria wakusaidie pa kuendelea?
OK sasa watakaoitwa ni wakna nanKama mlifanya taratibu zote rudini mahakamani kwani mahakama ina uwezo wa kuwaita na kuwahoji kwanini hawataki kutoa pesa za marehemu
Kweli kabisa hata mm naona ako wao kashaingiza mjini bila ndara kasha chukua mshiko kasepa kama lowasa na taarifa hawapi ili wasijue kama kashazipiga. Duh kweli kufa kufaana.k
asema uncle ake ndo msimamizi so wameshapigwa tayar
mumshtaki huyo anko enu.