MSAADA HESLB; Kukosea ujazaji wa Self Registration

jaribu kuwaandikia email ueleze tatizo lako heslb
 
jaribu kuwaandikia email ueleze tatizo lako heslb

Yap, Nilifanya hivyo jana...

Niliwaandikia Email na kuelezea, pamoja na kuwapa namba yangu ya simu, mpaka sasa bado sijapata msaada wowote..
 
Nawaomba tuwasiliane kupitia stephenmseti@yahoo.com, nitakusaidia

Na mimi nna shida mkuu, jana nimefanya malipo kwa M-pesa nimefuatiliza taratibu zote, nikapokea na Transaction code/Id
ila nikija kuingiza wakati wa kujisajili inasema M-pesa transaction ID does't exist, nimejaribu jana siku nzima na leo pia bila mafanikio, sijui hapa unanisaidiaje mkuu.

 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…