Msaada Hii gari

Msaada Hii gari

abaa4all

JF-Expert Member
Joined
Mar 5, 2013
Posts
313
Reaction score
291
Habar zenu wanajamv
Baada ya kujichanga kwa muda natarajia kuagiza gar naombeni msaada anaejua hii gar vzur pmoj na specification zake,gharama zake mpka unaitoa bandarini
Msaada wenu wa haraka kabla sijatumia pesa zangu kwenye mambo mengine.
IMG-20180522-WA0033.jpg
IMG-20180522-WA0035.jpg
IMG-20180522-WA0034.jpg
IMG-20180522-WA0036.jpg
 
Mkuu hapo bei chafu kama mill 90 hivi za madafu.
Pia painting,service yake nahisi bongo itakuwa balaa, Engine V8
BT kama ni mpenzi wa sample hizo kaa hata kwenye Toyota crown Athlete.. Gari Kali,service kila kona.
images%20(2).jpeg
12153434813_60a1a5641a_b.jpg
 
Ila gari za europe huwa napenda sana rangi zao,hiyo gari rangi yake ni tamu sana mkuu,maana hata ukiilinganisha na hiyo Crown hapo inapwaya sana...
 
Kuna unataka kuagiza gari ambayo haujui spec zake. Maajabu ya mwaka
 
Back
Top Bottom