Hii ni gari yangu imepata ajali, wasiwasi wangu ni kuwa huu ndiyo mwisho wake. Engine inawaka, ndani hakuna shida kimuonekano isipokuwa airbag iliyofumuka, hub ya nyuma kushoto imengoka kabisa
.bodi ndio kama linavyoonekana. Je wapo mafundi wanaweza kulitengeneza likarudi kwenye hali yake? Msaada tafadhari.
.bodi ndio kama linavyoonekana. Je wapo mafundi wanaweza kulitengeneza likarudi kwenye hali yake? Msaada tafadhari.