Nina bonge la dawa tena haina masharti magumu, unaichanganya kwenye mafuta unayoyapaka then ukiwa unaenda kukutana na huyo mdada unayapaka hayo mafuta huku ukinuia unachokihitaji then nenda kateme madini yako,kwanza hata kama ni bad face atakuona bonge la handsome hata kama utakua umevaa bwanga atakuona umevaa mavazi ambayo yeye yanamvutiaHv ni kweli kuna dawa Za mvuto wa mapenzi? Yani dawa inayoweza kufanya umpate mschana yeyote unaemtaka? Na kama zipo nazipata wapi maana kuna mtoto ananisumbua mwaka wa pili huu hataki kuelewa na nampenda kweli nmetumia mbinu A mpk Z bt sifanikiwi[emoji16] [emoji16] [emoji16] [emoji16] [emoji16]
π π π ninayo hapa popote Tz inakufikiaNtaipata vipi