Kifaru86
JF-Expert Member
- Apr 22, 2017
- 1,734
- 3,822
Habari zenu wadau kwa mara nyingine nakuja kuomba ushauli toka kwenu .
Hivi nitajuaje kama mimba ninayoambiwa na mpz wangu ni yangu kwa sababu kuna kitoto nimetoka kumgonga hata week haijaisha anadai ana mimba yangu
Hebu nisaidieni jinsi ya kutambua hiii mimba ni yangu
Hivi nitajuaje kama mimba ninayoambiwa na mpz wangu ni yangu kwa sababu kuna kitoto nimetoka kumgonga hata week haijaisha anadai ana mimba yangu
Hebu nisaidieni jinsi ya kutambua hiii mimba ni yangu