Private investigator
JF-Expert Member
- Dec 28, 2012
- 303
- 287
Ikiwa mume anayo hiyo homa, anaweza kushiriki tendo la ndoa na asimuambukize mkewe? Pia kuhusu uzazi, anaweza kumpa mkewe mimba na mtoto kuzaliwa salama bila kurithi ugonjwa?
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Mke akapige chanjo ya homa ya ini itamsaidia asiweze kuambukizwa na mume wake homa ya ini. Na tiba ipo ya homa ya ini ukihitaji nitafute kwa wakati wako.Ikiwa mume anayo hiyo homa, anaweza kushiriki tendo la ndoa na asimuambukize mkewe? Pia kuhusu uzazi, anaweza kumpa mkewe mimba na mtoto kuzaliwa salama bila kurithi ugonjwa?
Ikiwa mume anayo hiyo homa, anaweza kushiriki tendo la ndoa na asimuambukize mkewe? Pia kuhusu uzazi, anaweza kumpa mkewe mimba na mtoto kuzaliwa salama bila kurithi ugonjwa?
Mkuu Kwanza kabisa Mke akapime Kama bado hajapata MAAMBUKIZI.baada ya Hapo akachanje chanjo ya homa ya ini.Ikiwa mume anayo hiyo homa, anaweza kushiriki tendo la ndoa na asimuambukize mkewe? Pia kuhusu uzazi, anaweza kumpa mkewe mimba na mtoto kuzaliwa salama bila kurithi ugonjwa?
Baada ya chanjo anaweza kushiriki tendo na kuzaa bila maambukizi?Mke akimbilie chanjo.Mwarubaini hapo ni chanjo.
Baada ya hapo anaaweza kushiriki tendo na akazaa bila kuambukizwa?Mkuu Kwanza kabisa Mke akapime Kama bado hajapata MAAMBUKIZI.baada ya Hapo akachanje chanjo ya homa ya ini.
Homa ya ini huambukiza kwa njia nyingi Ni Kama ilivyo kifua kikuu tofauti Yake haiambukizi kwa hewa tu,pia Mgonjwa akianza tiba huwa haambukizi.
Jibu ni ndiyo lakini ni vyema sana akamuuliza Doctor hiyo siku ya chanjo.Baada ya chanjo anaweza kushiriki tendo na kuzaa bila maambukizi?
Mke akapime iwapo hajaambukizwa apate chanjo ya Hepatitis B, ni muhimu sanaIkiwa mume anayo hiyo homa, anaweza kushiriki tendo la ndoa na asimuambukize mkewe? Pia kuhusu uzazi, anaweza kumpa mkewe mimba na mtoto kuzaliwa salama bila kurithi ugonjwa?