Msaada: Hospital yenye Gastroenterologist mzuri hapa DSM

Msaada: Hospital yenye Gastroenterologist mzuri hapa DSM

ethicx

JF-Expert Member
Joined
Apr 4, 2012
Posts
311
Reaction score
126
Habari wana jamvi, kama kichwa cha uzi kinavyosemeka. Ni hospital gani hapa dsm naweza kupata gastroenterologist mzuri.
Natanguliza shukrani.
 
Shafeeq ni gynecologist ndugu.
Prof Mosha wa muhimbili huwa anapatikana agha khan kila siku jioni, ukiwa na procedure ndio mnapanga appointment.
Dr. Shafeeq wa Aga khan no. 0713786592
 
Shafeeq ni Dr mzur sana kwa wamama jaman na mungu amps maisha marefu yule baba me ni Dr wangu nimezaa kwake nikiwa na miaka 21 nikiwa Chuo aliniattend vizur mpaka nikampata baby wangu kuanzia clinic.hivi ninampango Wa kuendelea tena clinic yake ya mtoto wetu Wa pili.
 
Shafeeq ni Dr mzur sana kwa wamama jaman na mungu amps maisha marefu yule baba me ni Dr wangu nimezaa kwake nikiwa na miaka 21 nikiwa Chuo aliniattend vizur mpaka nikampata baby wangu kuanzia clinic.hivi ninampango Wa kuendelea tena clinic yake ya mtoto wetu Wa pili.
Ehh ngoja nikuulize wewe maybe unaweza kuwa na experience ya kutosha kwa kuwa ni mwanamke,hivi ipi ni njia nzuri ya mpango wa uzazi, na je kuna umuhimu uwekewe na gastroenteritis? Maana kuna ndugu yangu aliweka njiti ikamletea matatizo, akaja weka sijuwi loop lakini bado alishika mimba inakuwaje hapa, msaada please[emoji13]
 
Ehh ngoja nikuulize wewe maybe unaweza kuwa na experience ya kutosha kwa kuwa ni mwanamke,hivi ipi ni njia nzuri ya mpango wa uzazi, na je kuna umuhimu uwekewe na gastroenteritis? Maana kuna ndugu yangu aliweka njiti ikamletea matatizo, akaja weka sijuwi loop lakini bado alishika mimba inakuwaje hapa, msaada please[emoji13]
Me situmii njia yoyote ya uzazi my frnd nilivyojifungua tu baada ya week tulirudi hospital kwa ajili ya kuangakia maendeleo ya kidonda na kupewa ushauri Wa njia za uzazi Wa mpango ipi bora ya kutumia shafeeq alituelezea njia zote na mazuri yake mabaya pia sasa anakupa option uchague sisi tulichangua calendar japo ni ngumu kidogo na inahitaji umakini,ila ni nzur sana na salama zaidi kama mmechelewa kuzaa ikitokea mkeo akaconsive tens mnazaa tu lakini if Hanna mpango Wa hivi karibuni njiti ni nzur na comfortable,lupu huwa wanasema ukiwa unasex inauma uke unakuwa mkavu hamu ya mapenzi inapungua ila ninao wafahamu wakijiti wanalalamika mauzi yapo ila madogo kama kunenepa,hamu ya mapenzi ila hiyo siifikirii sana maana sex its OK about psychologia unampokeaje mpnz wako kichwani,mengine kawaida me sasa mtoto anamiaka 3 na me n miaka 25,nizaa tena mwakani by 30 nishamaliza nalea tu.karibu sana kaka!nendeni kwa shafeeq atawashauri kitaalam zaidi.
 
Me situmii njia yoyote ya uzazi my frnd nilivyojifungua tu baada ya week tulirudi hospital kwa ajili ya kuangakia maendeleo ya kidonda na kupewa ushauri Wa njia za uzazi Wa mpango ipi bora ya kutumia shafeeq alituelezea njia zote na mazuri yake mabaya pia sasa anakupa option uchague sisi tulichangua calendar japo ni ngumu kidogo na inahitaji umakini,ila ni nzur sana na salama zaidi kama mmechelewa kuzaa ikitokea mkeo akaconsive tens mnazaa tu lakini if Hanna mpango Wa hivi karibuni njiti ni nzur na comfortable,lupu huwa wanasema ukiwa unasex inauma uke unakuwa mkavu hamu ya mapenzi inapungua ila ninao wafahamu wakijiti wanalalamika mauzi yapo ila madogo kama kunenepa,hamu ya mapenzi ila hiyo siifikirii sana maana sex its OK about psychologia unampokeaje mpnz wako kichwani,mengine kawaida me sasa mtoto anamiaka 3 na me n miaka 25,nizaa tena mwakani by 30 nishamaliza nalea tu.karibu sana kaka!nendeni kwa shafeeq atawashauri kitaalam zaidi.
It is so complicated, CALENDAR nayo mhmhmh hapana aisehh,siku ukiwa na hamu halafu ni siku za hatari.....mimba ni lazima
 
Back
Top Bottom