EP MEDICS COSMETICS STORE
JF-Expert Member
- Oct 18, 2015
- 2,826
- 4,593
Ahsante sanaHizi mpaka uvuke maji uende zanzibar ndipo walipewa hizo chanjo na kwa wakati huu mpaka kwenye baadhi ya hotel kuna point wanatoa chanjo, au unafanya appointment wanakuja home.
Mbona vituo vya chanjo viliwekwa kitambo mkuuKwanini wahusika hawaweki orodha ya majina ya vituo vya chanjo ya covid 19 nchi nzima. Wizara ya afya tafadhali sana. Wengine tumepoteza ndugu kwa ugonjwa huu
Pfizer ni mRNA.Habari ya majukumu wapendwa.
Ninaomba kujua kama kuna hospital inayotoa chanjo ya pfizer au mordena kwa tanzania hapa.
Mkaruka ipi BORA wasu ? ww umeshachanja ?Pfizer ni mRNA.
Janssen ( J&J ) ni Adenovirus.
Samahani sana, unaweza kunipatia link ya vituo ?Mbona vituo vya chanjo viliwekwa kitambo mkuu
wanaruhusu raia wa kawaida kuchanjwa hapo kwao ?Nenda Ubarozi wa Marekani wao wanatumia Hiyo Pfizer
Kwa JJ vaccine vituo vipo vingi tuKwanini wahusika hawaweki orodha ya majina ya vituo vya chanjo ya covid 19 nchi nzima. Wizara ya afya tafadhali sana. Wengine tumepoteza ndugu kwa ugonjwa huu
Zanzibar hospitali zipi au vituo vioi naweza pata huko ndugu.Hakuna, labda Zanzibar