ameline
JF-Expert Member
- Jan 8, 2013
- 2,292
- 1,151
Ndugu zangu,kuna wifi yangu amekuja kunitembelea amekunywa dompo akachanganya na konyagi sijui kama kuna vingine maana hizo ndo naziona.amelewa sana mpaka amezimia.mim si mnywaj so, sijui hata nimpe nini kikate kilevi.ametapika sana kabla hajazimia nlichofanya nimempa huduma ya mtu aliezimia tu nawaza kumpeleka hosp saiv. nisaidieni madoctor na wadau wengine nimpe nini jamani.asanteni