Bakulutu
JF-Expert Member
- Nov 30, 2011
- 2,557
- 1,787
Nikipaki eneo lenye baridi kama masaa 4 nikiwasha gari nikiwa na zungusha usukani ina lalamika ngiiiiiii nikirudi upande wa pili hivyo hivyo . Inabidi niache gari ingume kama dk 10 mpaka 15 ndio unapotea.
Tatizo linaweza kuwa nini? Mwaka hana ilikuwa hivyo hivyo nilipo kuwa huko kijijini. Ila jana nimepaki mahali hapa mjini kuna baridi haswa jioni ile naona imelalamika saana inabidi nisubirie kwa muda.
Tatizo linaweza kuwa nini? Mwaka hana ilikuwa hivyo hivyo nilipo kuwa huko kijijini. Ila jana nimepaki mahali hapa mjini kuna baridi haswa jioni ile naona imelalamika saana inabidi nisubirie kwa muda.