Ndio maana unashauriwa kuwa asubuhi ukiamka washa gari kisha iache iungurume dk 10 mpaka 15 ili oil isambae sehemu husika na pia kuondoa barafu (if any).Nikipaki eneo lenye baridi kama masaa 4 nikiwasha gari nikiwa na zungusha usukani ina lalamika ngiiiiiii nikirudi upande wa pili hivyo hivyo . Inabidi niache gari ingume kama dk 10 mpaka 15 ndio unapotea . Tatizo linaweza kuwa nini? Mwaka hana ilikuwa hivyo hivyo nilipo kuwa huko kijijini. Ila jana nimepaki mahali hapa mjini kuna baridi haswa jioni ile naona imelalamika saana inabidi nisubirie kwa muda.
Hii ni muhimu sana ila kwa hii issue ya uskani inachukua muda sana kupotea.
Si upeleke kwa mafundi mkuu!
Siyo mafundi wa vichochoroni, halafu upo mji gani mzee wenye baridi, njombe au!?
Replacement ni bora zaidi kuliko kujazia hiyo fluid inapopungua au je hiyo fluid huchoka ikitumika mda mrefu ??????Angalia Power steering fluid level,
Kama imepungua ongeza au fanya replacement.