Msaada huu mmea unaitwaje?

Umechanganya mkuu, hizi sio pumbu za paka hiyo ni mnyonyo ukijichanganya ukatafuna mbegu zake zaidi ya tatu, utaharisha mpaka ulegee.
Na kama unaujauzito unatoka, watu utumia hii kama njia ya kufanyia abortion pia
 
Demand ya castor oil ni kwa kutengeneza mafuta ya nywele ya waafrika majuu. Haswa wanahitaji black.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…