Msaada: Huu ni ugonjwa gani kwa hawa kuku (broiler)?

Msaada: Huu ni ugonjwa gani kwa hawa kuku (broiler)?

DK The Farmer

Senior Member
Joined
May 27, 2013
Posts
103
Reaction score
16
Ni kwa mara ya kwanza kufuga kuku wa broiler, wana wiki 3 sasa, ila kuna baadhi wanakuwa kama miguu inashindwa kusimama, wanakosa nguvu, na mda mwingine kutetemeka kwa mbali...nisaidieni jamani huu ni ugonjwa gani?
 
Mimi binafsi sijawahi kufuga kuku ila kama tatizo kama hilo lingenipata basi ninge enda kwa Veterinarian(daktari wa mifugo na wanyama) angeweza kukusaidia tatizo ni nini kwakuwa umeamua kufuga basi daktari atakueleza ratizi ni nini ma dawa yake for future reference
 
Back
Top Bottom