Msaada: Huu ni ugonjwa gani kwa Kuku huyu?

Msaada: Huu ni ugonjwa gani kwa Kuku huyu?

Chuck j

JF-Expert Member
Joined
Jun 17, 2011
Posts
2,366
Reaction score
828
WanaJF,

Asubuhi nimesikia kelele kwenye banda la kuku, kucheki nikakuta kifaranga kimejinyoosha kinalia, miguu imenyooka vidole vimepinda, kinapumua haraka haraka na miguu inatetemeka sana. Ukikisimamisha vidole vinapinda kama vya taahira but vimekakamaa, nikakipa maji kikanywa, stil hakiwezi simama!
 
wanajf asubuhi,nimesikia kelele kwenye banda la kuku,kucheki nikakuta kifaranga kimejinyoosha kinalia,miguu imenyooka vidole vimepinda,kinapumua harakaharaka,na miguu inatetemeka sana,ukikisimamisha vidole vinapinda kama vya taahira but vimekakamaa,nikakipa maji kikanywa,stil hakiwezi simama

Vp kifaranga bado kizima mpaka sasa?
 
Back
Top Bottom