Msaada: Huu ni ugonjwa gani na tiba yake nini?

Msaada: Huu ni ugonjwa gani na tiba yake nini?

Mbuvula

New Member
Joined
Jan 2, 2020
Posts
3
Reaction score
0
Habari zenu wakuu, poleni na majukumu.

huu ni ugonjwa gani umenipata, ilianza kama siku tatu zilizopita, naona mkono unaniwasha na jana na leo ghafla naona pamekuwa hivi na bado panawasha. Tamuona Doctor lakini kwa sasa nipo eneo ambalo hakuna daktari, angalau paache kuwasha tu na kuondoa hivo viuvimbe kwanza.

Natanguliza shukrani.
dawa1.jpg
dawa2.jpg
 
Hao ni mbu tu tiba yake tumia net. Na kama sio mbu paka majivu
 
Hao ni mbu tu tiba yake tumia net. Na kama sio mbu paka majivu
Asante ndugu, na kweli mbu wananing'ata sana sababu huwa situmii net. Ngoja nijaribu majivu kupaka ndugu. Shukrani.
 
Habari zenu wakuu, poleni na majukumu.

huu ni ugonjwa gani umenipata, ilianza kama siku tatu zilizopita, naona mkono unaniwasha na jana na leo ghafla naona pamekuwa hivi na bado panawasha. Tamuona Doctor lakini kwa sasa nipo eneo ambalo hakuna daktari, angalau paache kuwasha tu na kuondoa hivo viuvimbe kwanza.

Natanguliza shukrani.View attachment 1381678View attachment 1381679
Tetekuwanga hiyo mkuu
 
Ni kama mchafuko wa damu
Habari zenu wakuu, poleni na majukumu.

huu ni ugonjwa gani umenipata, ilianza kama siku tatu zilizopita, naona mkono unaniwasha na jana na leo ghafla naona pamekuwa hivi na bado panawasha. Tamuona Doctor lakini kwa sasa nipo eneo ambalo hakuna daktari, angalau paache kuwasha tu na kuondoa hivo viuvimbe kwanza.

Natanguliza shukrani.View attachment 1381678View attachment 1381679

Jr[emoji769]
 
Back
Top Bottom