asante nduguNgoja madokta waje, ila wahi hospital maana siku hizi kuna korona.
Sent using Jamii Forums mobile app
Asante ndugu, na kweli mbu wananing'ata sana sababu huwa situmii net. Ngoja nijaribu majivu kupaka ndugu. Shukrani.Hao ni mbu tu tiba yake tumia net. Na kama sio mbu paka majivu
Tetekuwanga hiyo mkuuHabari zenu wakuu, poleni na majukumu.
huu ni ugonjwa gani umenipata, ilianza kama siku tatu zilizopita, naona mkono unaniwasha na jana na leo ghafla naona pamekuwa hivi na bado panawasha. Tamuona Doctor lakini kwa sasa nipo eneo ambalo hakuna daktari, angalau paache kuwasha tu na kuondoa hivo viuvimbe kwanza.
Natanguliza shukrani.View attachment 1381678View attachment 1381679
Habari zenu wakuu, poleni na majukumu.
huu ni ugonjwa gani umenipata, ilianza kama siku tatu zilizopita, naona mkono unaniwasha na jana na leo ghafla naona pamekuwa hivi na bado panawasha. Tamuona Doctor lakini kwa sasa nipo eneo ambalo hakuna daktari, angalau paache kuwasha tu na kuondoa hivo viuvimbe kwanza.
Natanguliza shukrani.View attachment 1381678View attachment 1381679