GREGO JF-Expert Member Joined Apr 3, 2014 Posts 4,279 Reaction score 2,921 Nov 27, 2019 #1 Wadau nimekutana na hiki kitu moja ya kuku wangu, ila manyoya yamenyonyoka mgongoni.
Mwana Mtoka Pabaya JF-Expert Member Joined Apr 22, 2012 Posts 15,118 Reaction score 16,485 Nov 27, 2019 #2 Sio kwamba ameshambuliwa na mnyama?
Kennedy JF-Expert Member Joined Dec 28, 2011 Posts 54,894 Reaction score 64,043 Nov 27, 2019 #3 Inaonekana Ameshambuliwa Na Vicheche Ama Jamii Hiyo
GREGO JF-Expert Member Joined Apr 3, 2014 Posts 4,279 Reaction score 2,921 Nov 27, 2019 Thread starter #4 Mwana Mtoka Pabaya said: Sio kwamba ameshambuliwa na mnyama? Click to expand... Mkuu inawezekana maana nimemkuta bandani hivyo na banda linafungwa vizuri ila niliambiwa kwamba majogoo walikuwa wanampanda kila mara maana wapo kama watano hivi hadi akaishiwa nguvu. Sasa sijajua kama ndo sababu?
Mwana Mtoka Pabaya said: Sio kwamba ameshambuliwa na mnyama? Click to expand... Mkuu inawezekana maana nimemkuta bandani hivyo na banda linafungwa vizuri ila niliambiwa kwamba majogoo walikuwa wanampanda kila mara maana wapo kama watano hivi hadi akaishiwa nguvu. Sasa sijajua kama ndo sababu?
GREGO JF-Expert Member Joined Apr 3, 2014 Posts 4,279 Reaction score 2,921 Nov 27, 2019 Thread starter #5 Kennedy said: Inaonekana Ameshambuliwa Na Vicheche Ama Jamii Hiyo Click to expand... Nge anaweza kushambulia/kumfanya kuku kuwa hivi mkuu hawa ndo mara nyingi nawakuta bandani
Kennedy said: Inaonekana Ameshambuliwa Na Vicheche Ama Jamii Hiyo Click to expand... Nge anaweza kushambulia/kumfanya kuku kuwa hivi mkuu hawa ndo mara nyingi nawakuta bandani