Nimekua nikisikia Mara kwa mara viongozi na hata watu wenyedhamana katika asasi kubwa za kiselikari na,w zisizo za kiselikali zikishauri kuwa vijana Tuunde vikundi ili tuweze kupata msaada wa mikopo na ata mali ghafi ambazo zinaweza kutufanya vijana kujikwamua katika wimbi kubwa la kukosa ajira na kujipatia kipato na ajira kwa kujiajiri kutokana na msaad huo watakaoutoa kwa vijana ambao wataform vikundi.
Swali langu ni kwamba kuna ukweli wowote juu ya hii dhana? na kama ukweli upo ni hatua gani zinapaswa kufatwa ili kuweza kuform izo group ambazo zinazungumziwa na wakuu wetu?
Msahaada waungwana kwa anayefaamu juu ya jambo ili mtusaidie vijana?