Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
ja,an wana jf nisaidie
kufahamu ili uchaguzi urudiwe kila mtu anatakiwa kuwa na asilimia ngapi
ya kura? Kwa sababu mpaka saizi naona wanacheza kwenye asilimia
hamsini
Msaada please ikiwa Raila akimpita Odinga kwa 50% + 1 mambo itakuwaje.Just joking kichwa cha habari kimekaa mkao wa kuchekesha na mimi nimeamua kuweka habari ya kuchekesha kidogo jupunguza stress.
"Hivi Gongolambali na Mboto, wapi mbali?" Kuwa makini na heading zako!
Jamani kama nimekosea kuandika tusamehane ni makosa yamefanyika