MSAADA: Ilipo hospitali ya CCBRT

Revola

JF-Expert Member
Joined
Apr 14, 2015
Posts
1,516
Reaction score
1,338
Naombeni msaada wenu wa haraka ilipo hospitali ya ccbrt nahitaji kumpeleka mtoto kwa ajiri ya kuangaliwa miguu yake ambayo inamatege. Please i need your help hata ushauri pia. NB: mtoto ni wa mwaka mmoja na miezi Miwili.
 
Mkuu kama unapanda bus,panda la msasani shukia kituo kinaitwa macho
ukishuka apo tu utaona hospitali io
 
hujasema unatoka wapi na unatumia usafiri gani,

okay, kwa daladala panda gari za masaki, shuka kituo kinaitwa macho, hapo waweza kutembea ni kama dk 5 hadi hapo hosp.

ukishuka kama unaelekea masaki vuka barabara, rudi nyuma kidogo (kwa sababu nkituo kipo mbele kidogo ukilinganisha na cha upande wa pili kama unatokea masaki chenyewe unafuata njia upande utakao shuka kituoni hapohapo) kuna barabara upande wa kushoto ni ya lami, shuka nayo utakuta geti lipo upande wako wa kushoto
 
Asante mkuu natumia usafiri wa umma mkuu. Nashukiru kwa uungwana wako Mungu akubariki sana
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…