Msaada: Inachukua muda gani kulipwa NSSF tangu kufungua madai?

Kimla

JF-Expert Member
Joined
Jun 8, 2008
Posts
3,810
Reaction score
6,599
Wadau mimi nilifungua madai ya NSSF kijitonyama mnano the 1 June 2024, nikaambiwa nisubiri mwezi mmoja nitakuwa nimeingiziwa fedha baada ya ajira yangu kukoma mweI January 2024, sasa tunaelekea siku 60 bila kitu.

Je, kwa uzoefu wenu inachukua siku ngapi kupata malipo?
 
Ikizidi sana mwezi mmoja.
Unachukua mafao kama proffesional au sio proffesional?
 
Ikizidi sana mwezi mmoja.
Unachukua mafao kama proffesional au sio proffesional?
Professional nilikiwa mgodini kwenye masuala ya jamii?Sasa Mimi inaenelekea kusiha miezi miwili
 
Professional nilikiwa mgodini kwenye masuala ya jamii?Sasa Mimi inaenelekea kusiha miezi miwili
Hawakupi yote.
Ukifungua madai baada ya wiki mbili inabidi ufatilie tena tofauti na hapo utasubiri sana.
Wanafanya kazi kimwinyi sana.
 
Hawakupi yote.
Ukifungua madai baada ya wiki mbili inabidi ufatilie tena tofauti na hapo utasubiri sana.
Wanafanya kazi kimwinyi sana.
Ok,Asante kwa ushauri
 
Kwenye kufungua madai inategemeana na madai au mafao??
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…