relis
JF-Expert Member
- May 24, 2015
- 3,336
- 5,217
Wakuu Habari!
Ndugu zenu! Nina gari yenye engen ya 7a-fe Toyota nimetembea km 2700 oil imepungua Lita 2.5 ilianza taratibu mpaka kufikia hatua hiyo.
Engen Haina leakege kabisa ila imeanza kutoka Moshi ukikanyaga mafuta mengi then unakata gari inakimbia vzr tu na exos.
Asbh ukiwasha ikakaa muda inatoa maji japo si mengi na Bomba kuwa na weusi mkavu msaada tafadhali
Ndugu zenu! Nina gari yenye engen ya 7a-fe Toyota nimetembea km 2700 oil imepungua Lita 2.5 ilianza taratibu mpaka kufikia hatua hiyo.
Engen Haina leakege kabisa ila imeanza kutoka Moshi ukikanyaga mafuta mengi then unakata gari inakimbia vzr tu na exos.
Asbh ukiwasha ikakaa muda inatoa maji japo si mengi na Bomba kuwa na weusi mkavu msaada tafadhali