Rasputin
JF-Expert Member
- Mar 13, 2018
- 557
- 685
Habari wakuu,
Nina Subaru legacy ambayo matatizo yake yalianza mara baada ya kubadilisha timing belt, baada ya hapo cylinder head ikaliwa, baada ya kubadilisha nayo tu baada ya masaa machache turbo nayo ikakata shaft, nikanunua turbo nyingine, nayo pia ikakata shaft, (nahisi shida ni fundi pia maana huku nilipo hizi gari sio common).
Nimepoteza hela nyingi kubadilisha hivyo vifaa na bado gari haitembei, mpaka nawaza nikaikate au niilengeshe kwa mtu.
Mwenye kufahamu shida nini naomba anisaidie, asante!
Nina Subaru legacy ambayo matatizo yake yalianza mara baada ya kubadilisha timing belt, baada ya hapo cylinder head ikaliwa, baada ya kubadilisha nayo tu baada ya masaa machache turbo nayo ikakata shaft, nikanunua turbo nyingine, nayo pia ikakata shaft, (nahisi shida ni fundi pia maana huku nilipo hizi gari sio common).
Nimepoteza hela nyingi kubadilisha hivyo vifaa na bado gari haitembei, mpaka nawaza nikaikate au niilengeshe kwa mtu.
Mwenye kufahamu shida nini naomba anisaidie, asante!