Pole Mkuuu.Habari wakuu,
Nina Subaru legacy ambayo matatizo yake yalianza mara baada ya kubadilisha timing belt, baada ya hapo cylinder head ikaliwa, baada ya kubadilisha nayo tu baada ya masaa machache turbo nayo ikakata shaft, nikanunua turbo nyingine, nayo pia ikakata shaft, (nahisi shida ni fundi pia maana huku nilipo hizi gari sio common).
Nimepoteza hela nyingi kubadilisha hivyo vifaa na bado gari haitembei, mpaka nawaza nikaikate au niilengeshe kwa mtu.
Mwenye kufahamu shida nini naomba anisaidie, asante!!
Habari wakuu,
Nina Subaru legacy ambayo matatizo yake yalianza mara baada ya kubadilisha timing belt, baada ya hapo cylinder head ikaliwa, baada ya kubadilisha nayo tu baada ya masaa machache turbo nayo ikakata shaft, nikanunua turbo nyingine, nayo pia ikakata shaft, (nahisi shida ni fundi pia maana huku nilipo hizi gari sio common).
Nimepoteza hela nyingi kubadilisha hivyo vifaa na bado gari haitembei, mpaka nawaza nikaikate au niilengeshe kwa mtu.
Mwenye kufahamu shida nini naomba anisaidie, asante!!
Kwanza hata mtu wa kununua Subaru BMW Audi kwa mtu anakuwa hajitambui bora ata hiyo m8 au saba uende showroom uvute vitz yako kiroho safiHapo kwenya kuilengesha kwa mtu wakati ukifahamu fika ina matatizo ndio nimekuona we hufai hata kupewa mawazonya kusaidiwa.
Kwanni watu mnakuwa na roho za kinyama na kichawi hivi?
"God"....Sio sawa..Godwin.Upo mkoa gani? ulikuiwa unaagiza spea wapi? kama upo Dar ipeleke kwa God pale kinondoni biafra 0_06
Mkuu kwani Toyota aiharibiki Mkuu mimi nadhani gari zote zinaharibika ni vile umempata nani sahihi wa kulitengeneza...Pole Mkuuu.
Utakuta humu Uzi watu wanaponda tunaotumia TOYOTA huku Mikoani, miongoni mwa vitu tunaepuka ni kama hicho unachoalalamikia wewe. Leo gari yako ingekuwa RAV 4 au the like ungekuwa unapeta tu. Anyway jaribu ushauri hapo juu upambane mpaka kieleweke.
Nashukuru sana kwa kunisahihisha nisamehe kwa kuandika tofauti na lengo."God"....Sio sawa..Godwin.
Hapo kwenya kuilengesha kwa mtu wakati ukifahamu fika ina matatizo ndio nimekuona we hufai hata kupewa mawazonya kusaidiwa.
Kwanni watu mnakuwa na roho za kinyama na kichawi hivi?
Sio kwa maana hiyo, kuilengesha ni mtu ana assess tatizo mwenyewe kama anaona ataweza kutengeneza anaichukua, tena kwa bei ya chini.
Ukisifia Toyota unaonekana mshamba ila kiukweli hizo brand nyengine ni kichefuchefu. Hakuna mtu anayependa gari yake iwe mbovu ila ni asili ya kila kilicho kizima ipo siku kitakuwa kibovu tu.Pole Mkuuu.
Utakuta humu Uzi watu wanaponda tunaotumia TOYOTA huku Mikoani, miongoni mwa vitu tunaepuka ni kama hicho unachoalalamikia wewe. Leo gari yako ingekuwa RAV 4 au the like ungekuwa unapeta tu. Anyway jaribu ushauri hapo juu upambane mpaka kieleweke.