Kunguru wa Manzese
JF-Expert Member
- Apr 20, 2016
- 12,729
- 18,119
Unapigiwa simuMajina yametoka lini
Kwa wenye fani au kwa wote na wasio na faniUnapigiwa simu
Kwa wasio na fani we una fani mkuu ?Kwa wenye fani au kwa wote na wasio na fani
Hapana kaka niliomba kupitia wilayani kakaKwa wasio na fani we una fani mkuu ?
Mkuu hawajipigia au ndio kila sehemu itawaita watu kwa utaratibu wakeKwa wasio na fani we una fani mkuu ?
Kabisaawakuu nawaombea mtoboe usaili wa magereza.huu mwaka tuchomoke kitaani
Inshaallah ameenwakuu nawaombea mtoboe usaili wa magereza.huu mwaka tuchomoke kitaani
Kila sehemu na utaratibu wakeWengine mbna hatujapigiwa simu au ndio kila sehemu na ratiba zake
Kaka unaliombea mkoa ganiKila sehemu na utaratibu wake
Mkuu usaili utakuwa ni huu mmoja tu au kuna mwengine hawa magerezaKila sehemu na utaratibu wake
Zinatofautiana na sehemu mfano uoni kuna wengine wameitwa leo wanaenda fanya kesho kuna wengine wamefanya jana kuna wengine wamefanya juzi na pia hivyo hivyo kuna wengine wamefanya round mbili kupima urefu na usaili wenyewe wengine mmoja yaani hawa jamaa hawatabirikiMkuu usaili utakuwa ni huu mmoja tu au kuna mwengine hawa magereza
Hawakatwi mkuuNauliza Safari hii wale wa div 1 hadi 3 hawatakatwa kama ilivyokuwa last year Nimeona Tangazo wamewahitaji ila na mashaka sana
Makaranga si watakuwepo ?hawa ndio washindani wetuNa round hii sidhani kama tutakaa mwezi kusubiri mkeka sensa itatukutia Kiwira
So wanangu round hii lazima tutoboe tumebaki wachache sana humu
Inategemea wanaweza wasiwepo kabisa au wakawa wachacheMakaranga si watakuwepo ?hawa ndio washindani wetu